aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, August 16, 2013

PICHA:MADIWANI NANE WA CCM WALIOFUKUZWA BUKOBA.....


       Diwani Alexander Ngalina wa Kata Buhembe na Naibu Meya
            Diwani Richard Gaspar wa Kata ya Miembeni na mjumbe mkutano mkuu wa Taifa wa CCM
             Diwani  Dauda Kalumuna wa Kata ya Ijuganyondo
              Diwani Samweli Ruangisa  wa kata ya Kitendaguro
                 Diwani  Deusdedith  Mutakyawa kata Nyanga
   Diwani  Yusuf Ngaiza wa kata ya Kashai na mwenyekiti wa CCM Bukoba mjini
               Diwani Robert Katunzi wa kata ya Hamugembe
    Diwani Murungi Kichwabuta wa viti maalum na mjumbe baraza kuu la Taifa la wanawake


Read more: http://talkbongo.blogspot.ru/2013/08/pichamadiwani-nane-wa-ccm-waliofukuzwa.html#ixzz2cCcnZtD1

No comments:

Post a Comment