aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, August 3, 2013

MAKOMANDOO WAMZINGUA ALI KIBA..


                                                                           ALLY KIBA

MAKOMANDOO WAMZINGUA ALI KIBA..,kundi linlofanya muzic kutoka ktk familia ya Tht linaundwa na vijana watano week iliyopita walikuwa ktk tv moja ya jijini dar es salaam wakiitambulisha style yao mpya inayofahamika kwa jina la kibaba baba na kimama mama na ikapokelewa vizuri na mashabiki wa bongo fleva sasa jana mwanamuziki Ali kiba alizungumza na kituo hicho hicho cha tv walichoenda makomandoo na kudai kuwa wamemuibia style hiyo ya kibaba baba na kimama mama..namnukuu Ali kiba akizungumza hv jana"unajua style ile ni yangu na nilipanga kuitambulisha ktk video yangu mpya lkn hawa wadogo zangu wameichukua na kudai kuwa ni ya kwao wamenisikitisha sana nilijaribu kuwapigia cm siku ile ile wakanijibu jeuri nikaona isiwe sababu kwan mm sijaanza muziki leo najua nn nachokifanya hivyo nikawaambia km wakiwa wastaarabu waiche hyo style kwan ni yangu na wakiwa wajeuri sawa waendelee kuitumia.."alizungumza hivyo ali kiba kwa unyonge akiwa ndani ya mfungo wa ramadhani...

No comments:

Post a Comment