aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, August 16, 2013

KALI YA LEO: RONALDINHO ATOBOA SIRI: WAKATI NIKIWA BARCA KABLA YA MECHI NILIKUWA NAFANYA MAPENZI


dinhoteeth Ronaldinho has had an operation to fix his teeth, talks to Playboy about losing virginity at 13 

















Mwanasoka bora wa zamani wa dunia, mbrazil Ronaldinho 
Gaucho amezungumza na jarida la picha za kiutuzima PLAYBOY
 na kutoboa siri kwamba wakati akiwa anaichezea klabu ya
 FC Barcelona mara nyingi kabla ya mechi hasa za nyumbani 
alikuwa akifanya ngono kabla ya kwenda kuungana na wenzie 
kwenda uwanjani.

Akizungumza na PLAYBOY BRAZIL, Ronaldinho ambaye hivi
 karibuni alifanyiwa upasuaji wa kurekebisha fizi zake alisema: 
"Wakati nikiwa Barcelona mara nyingi nilikuwa nafanya mapenzi 
kabla ya mechi, na kwangu halikuwa tatizo bali faida kwa kiwango 
changu uwanjani, ilinisaidia kuwa katika hali ya furaha kabla ya 
mchezo na hvyo kunifanya nicheze vizuri.
 Ronaldinho pia aliliambia jarida hilo kwamba sasa ameacha 
ukicheche na ametulia na mwanamke mmoja ampendae kwa dhati,
 "Nimezama penzini sasa, Nina mchumba na maisha yangu naishi
 kwa utulivu zaidi. Huko nyuma nilikuwa sio muaminifu kwenye 
mapenzi, lakini sasa sina mpango wa kuwa namna hiyo. Mara ya
 kwanza nimeshiriki tendo la ndoa nilikuwa na miaka 13 na jirani
 yangu, hakikuwa kitendo kizuri kwa sababu bado tulikuwa watoto." 

No comments:

Post a Comment