aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, August 15, 2013

HALI HII NI HATARI...

Kadhia ya usafiri wa Noah: Abiria wakiwa wamepangwa hadi nyuma ya siti wakiwa kwenye usafiri huo kutoka  Mikumi kwenda Mjini Morogoro, kama walivyokutwa leo na kamera yetu eneo la Kijiji cha Mangae, Wilaya ya Mvomero ,barbara kuu ya Iringa - Morogoro. Licha ya gari hizo kuruhusiwa kubeba abiria baadhi ya wenye magari hayo hawazingatii kanuni za usafirishaji kwa kujaza abiria wengi kinyume na sheria.
Abiria wanashuka, wengine wanaingia...
 
Mlango unafungwa
 
Haya, safari njema...

No comments:

Post a Comment