aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, August 24, 2013

EBSS KUONEKANA TBC

Mshindi wa EBSS mwaka jana, Walter Chilambo akiwa na mshiriki mwingine Meninah Atick.
Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Poulsen (kushoto) akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Kulia ni Meneja wa Vipindi wa TBC, Edna Rajabu.…
Mshindi wa EBSS mwaka jana, Walter Chilambo akiwa na mshiriki mwingine Meninah Atick.
Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Poulsen (kushoto) akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Kulia ni Meneja wa Vipindi wa TBC, Edna Rajabu.
Mshiriki wa mwaka jana, Meninah Atick akiongea jambo.
Mshindi wa EBSS mwaka jana, Walter Chilambo akiongea na waandishi wa habari.



SHINDANO la kusaka vipaji la Epiq Bongo Star Search (EBSS) kwa msimu huu litakuwa likionyeshwa kupitia Televisheni ya Taifa (TBC) baada ya kuonyeshwa zaidi ya miaka mitatu kupitia ITV. Akiongea na wanahabari, Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Poulsen 'Madam Rita' alitoa ufafanuzi kuhusu mabadiliko hayo na kueleza kuwa hakuna ugomvi wowote kati yao na ITV bali ni suala la kibiashara tu.

SOURCE:GPL

No comments:

Post a Comment