aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, August 13, 2013

DAKTARI AIBA HEROIN TUMBONI MWA MGONJWA...!!


Polisi nchini Urusi wamemzuilia daktari mmoja mpasuaji kwa madai ya kuiba kifuko kilichokuwa na dawa ya kulevya ya Heroin kutoka tumboni mwa mgonjwa.
Polisi katika eneo la Siberian walimtaka daktari kumfanyia upasuaji mshukiwa ili waweze kunasa dawa hiyo ambayo mgonjwa alikuwa ameimeza. Hata hivyo polisi waligundua kuwa seheme ya dawa hiyo iliyotolewa tumboni mwa mshukiwa ilikuwa inakosekana
Maafisa wa utawala wanadai kuwa daktari huyo alikuwa mlevi walipomkamata. Huenda akafungwa jela kwa miaka 15 ikiwa atapatikana na hatia ya wizi wa dawa za kulevya.

No comments:

Post a Comment