Mwanamke huyo mwenye miaka ishirini na kitu ilikuwa aolewe wikendi iliyopita Marakwet.
Mshuhudiaji wa tukio hilo alisema kuwa majambazi hao walikuwa watano walivamia nyumbani kwa wazazi wake kijiji cha Kapyego. Wakamshinikiza mdogo wake wa kiume kutaka kumuona dada yake,bibi harusi mtarajiwa.
Mshuhudiaji wa tukio hilo alisema kuwa majambazi hao walikuwa watano walivamia nyumbani kwa wazazi wake kijiji cha Kapyego. Wakamshinikiza mdogo wake wa kiume kutaka kumuona dada yake,bibi harusi mtarajiwa.
Alisita na majambazi hayo walimpiga risasi akafariki hapohapo. Wakaingia ndani na kumtoa dada yake kisha wakampiga risasi kichwani.
Kiongozi wa polisi wa eneo hilo,Philip Opiyo aliyethibitisha kutokea kwa tukio hilo alisema kuwa mauaji hayo yanaweza kuwa yalisababishwa na 'love triangle'yaani akimaanisha mahusiano ya kimapenzi ya mwanaume mmoja kuwa na wanawake wawili. Polisi wana shuku kuwa mwanaume ambaye alitaka kumuoa ndio anahusika na uvamizi huo.
Translated from DAILY POST
No comments:
Post a Comment