aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, August 9, 2013

ALICHOKISEMA LULU KUHUSU ISHU YA ELIMU NA MASTAA WA BONGO...

luluxShule ni kitu cha msingi sana kwa mtu yoyote hasa yule ambaye ni kioo cha jamii au kiongozi. Sasa muigizaji Lulu amechukua hatua zake kwenye hii ishu ya elimu pamoja na kusema maneno,”Gettin more knowledge…..!!!we have to learn….especially sisi celebrities wa bongo….wengi wetu tunaongeaga pumba sana in public…yan hatujui nini tuongee wapi!!!!juc an advice lakni…..!!!!AM GOOD TO GO….”
lulu
Inaonekana Lulu anasoma hiki kitabu ili kimsaidie pale anapoongea mbele ya jamii hasa kwenye interview
lulu2

No comments:

Post a Comment