aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, August 15, 2013

VIDEO: Jamaa aliyembaka ng’ombe afungwa miaka 14

Jamaa aliyefumaniwa akila uroda na ng’ombe mjini Nyeri amehukumiwa kifungo cha miaka 14 katika mahakama ya Mukurweini mjini humo. Wakati wa kutoa hukumu yake, jaji wa mahakama hiyo Wendy Kagendo alisema kuwa ili iwe funzo kwa wale wanaofanya vitendo kama hivi kwa wanyama na watoto, ilimbidi kutoa hukumu hiyo kali. Mohamed mahmoud anaarifu zaidi. 

No comments:

Post a Comment