mfano mzuri ni Hotel maarufu ya Burj al arab iliyojengwa ndani kidogo ya bahari kwenye
jiji la Dubai.
Hivi sasa jengo refu duniani ni Burj Khalifa ambalo lipo Dubai na lina urefu wa mita 828
na unaambiwa ukifika mwaka 2014 ndio utakuwa mwisho wa utawala wake kwa kuwa
jengo refu zaidi duniani kwa sababu sasa hivi huko China kuna jengo linaitwa Sky City
One ambalo litakuwana urefu wa mita kumi zaidi ya Burj Khalifa na limeshaanza kujengwa.
Jengo hilo ambalo litagharimu zaidi ya ¥5.2 billion za kichina linakadiriwa kukamilika
Huu ni mchoro wa computer
No comments:
Post a Comment