Kiungo wa zamani wa Azam, Abdulhalim Humoud (katikati) akisaini mkataba wa kujiunga na Simba mbele ya Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Joseph Itang’are ‘Mzee Kinesi’ (kushoto) anayeandika hundi ya dau la mchezaji huyo. Simba imebadili utaratibu kwani sasa inawaandikia wachezaji wake hundi badala ya kuwalundikia noti mezani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment