aaaaa
skip to main |
skip to sidebar
PICHA:MATUKIO KATIKA SHEREHE YA KUTIMIZA SIKU 40 YA MTOTO WA MCHEKESHAJI MIZENGWE ...
MSANII Wa kundi la vichekesho hapa nchini ''Hemedi Maliyanga'' (Mkwere) Kutoka kundi la MIZENGWE linalorusha kipindi chake katika runinga ya ITV, Leo amemfanyia mtoto wake ''Shamsa Hemedi Maliyanga'' sherehe baada ya kutimiza siku arobaini (Hakika) Huko nyumbani kwake Kimara-Bonyokwa leo.
Shamsa Hemedi Malyanga
MKE WA MKWERE NA MTOTO WAKE KAMIRA MWENYE IJABU NA SHAMSA AKIWA AMEMBEBA NA HUYO MWENYE JEZI YA YANGA NI MTOTO WA MPIGA PICHA KUTOKA ITV NOEL KAPANDA
MKWERE NIKIWA NASIKILIZA DUA KUTOKA KWA SHEKHE HAPO PEMBENI YANGU
NDUGU,JAMAA NA MARAFIKI WAKIWA NA MTOTO
WAZEE WA FAMILIA YA MALIYAGA WAKIWA KWENYE POZI LA KUPIGA PICHA
MKWERE AKIWA NA MWANAE NYUMBANI KWAKE KIMARA
SHAMSA HEMEDI MALIYAGA AKIWA KWENYE POZI
Mkwere Akiwa Na Mama Mkwe,Mkewe Na Mtoto Wake Kamira Na Shamsa Aliebebwa
Wadau Wa Karibu Wa ''Mkwere'' Wakipata Chochote Kitu
Wakinamama Wakifanya Yao Kwenye Idara ya Mahanjumati
''Kamira'' Mtoto wa kwanza wa ''Mkwere''
No comments:
Post a Comment