Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu Herieth Daniel Chamvanga.
Ofisa Tawala wa Global Publishers Ltd, Soud Kivea (kushoto) akimfariji wifi wa marehemu (kulia). Katikati ni Msanifu Kurasa wa Global, Huruma Bujiku.
MJASIRIAMALI Herieth Daniel Chamvanga aliyefariki dunia Julai 31 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, amezikwa leo katika makaburi ya Makongo Juu jijini Dar es Salaam. Marehemu enzi za uhai wake aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mbalali mkoani Mbeya. Mpaka mauti yanamfika, Bi. Herieth alikuwa mjasiriamali. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
No comments:
Post a Comment