aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, August 6, 2013

MELVIN ALALA NA DILLISH...

Mshiriki wa shindano la Big Brother Afrika ‘BBA’ Melvin kutoka nchini Nigeria na Dillish wa nchini Namibia wamelala kitanda kimoja huku wakipeana mahaba na kupigana makiss ya kumwaga huku Melvin akimwambia Mnamibia huyo kuwa anampenda sana.
Kamera za BBA zilionyesha Mevin akimkiss Dellish kwenye shingo yake usiku huku sauti za mabusu hayo yakisikika kwa sauti ya juu,Dellish alimwambia Melvin kuwa yeye yupo kwenye mahusiano lakini Melvin alisema kuwa yupo tayari kwa chochote kwakuwa kamzimikia sana mrembo huyo.…

No comments:

Post a Comment