aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, August 2, 2013

HATARIII...HII NDO ADHABU WANAYOPEWA WATU WANAOKUTWA NA MADAWA WA KULEVYA NCHINI SAUDI ARABIA...!!

Ukikamatwa Saudi Arabia kama mkiwa wengi mtaadhibiwa kwenye kifaa hiki.
 

Kama siku hiyo mpo wachache, au ukiwa peke yako, utamalizana nao kwa style hii.

Ukikamatwa Pakistani, utaadhibiwa hivi.

Au wakikuhurumia watakufanya hivi..

Ukishikwa China, watakupiga risasi mbele za watu, 



Kwanini u'risk maisha yako?

Kijana, fikiria mama yako aliyekuzaa akiona unaishia hivi atasononekaje moyoni mwake?

Ni kweli umeishiwa mbinu za kujipatia kipato kwa njia nyingine halali?

Kijana wa Kitanzania, wewe ni spesho hakuna kama wewe.

Hakuna kitu chenye thamani kama maisha yako.

Usikubali kuwa punda wa kubebea watu madawa yao ya mabilioni ya pesa kisha wewe unaambulia pesa ya kununulia saloon car(kama ukinusurika kukamatwa).


No comments:

Post a Comment