aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, August 24, 2013

DIAMOND AZIMIWA MZIKI MARA MBILI AKIWA JUKWAANI KATIKA FIESTA TABORA.......!!

wanatabora ndo 2natoka fiesta time hizi! But kitendo ambacho clouds wamemfanyia Diamond (cha kumzimia mziki mara mbili akiwa stajini) co kizuri kabisa! Kwani mchana wamem2mia vizuri katika mkutan wa fulsa lakini usiku ndo wakaamua kumzingua. Hv nyie clouds kama hamtaki msanii apaform ktk shoo zenu ni bora msimpe mualiko, kwakweli Nyie ndio mnaoua mziki wa bongo fleva. Mwanzo niliona kama JD anawasingizia but kwa mlichokifanya leo, kimedhihirisha kuwa nyie ndiyo SUMU ya bongo fleva. Halafu bila hata aibu B12 anaanza kumnanga mwenzie eti oooh! Hatutaki utozi mara nini... Honestly watanzania tunajua kuwa nyie ni redio ya burudani, but kwa mwendo huu mtageuka redio ya kuua burudani, japo mlitaka kumfanyia unaaa hata Gadzilla hilo naliacha. But co ishu mmewaboa mashabiki na pia mmefanikisha juhudi zenu za kumdhalilisha Platnumz..
NB: KIPAJI HUTOLEWA NA MUNGU NA SIYO NYIE CLOUDS HIVYO MSIWANYANYASE WASANII KIIVO, NA BINAFSI SIJUI KAMA NYIE NDO MGEPEWA NAFASI YA KUGAWA VIPAJI, NINA MASHAKA NA MGAO WENU AMBAVYO UNGEKUWA. Duh mi nilidhania ni kina Ruge na Kusaga 2 kumbe hata Dj Zero n' B12. Ushauri: nyie baadh ya wafanyakazi wa clouds fm acheni roho za ivo ili 2jenge na 2kuze Mziki we2 wa bongo.
Credit:Mdau

No comments:

Post a Comment