aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, November 21, 2013

MANGE KIMAMBI AWASHUKIA GLOBAL PUBLISHERS BAADA YA KUWEKA VIDEO YA DENTI ANAYEDAI KBAKWA NA KAPUYA

Baada ya Mange kimambi Kuona hii Video hapo juu Alikuwa na haya ya Kusema:

"Global publishers shame on you........

This is harrassment and unfair treatment ya mlalamikaji....

Hatusemi kama anaongea ukweli au kama ni muongo ila kwa jinsi mnavyomfanyia aiseeeeee

ingekuwa ni mimi na kesi ningeachana nayo especially coz kesi yenyewe ni ya kubakwa.

Alafu mnamtishia na kumtoa picha yake bila kuziba sijui nini na hatowafanya chochote...

Kwa kweli nimejisikia vibaya sana, sijui kama huyu binti ni muongo au kama ni mkweli ila Global wanataka kummaliza confidence yooooote......

VERY UNFAIR............

Hivi hawawezi tu kumuhoji mlalamikaji wakamsikiliza kama jinsi walimvyomuhoji Kapuya wakaandika alichosema  Kapuya.

wao wana mjudge mlalamikaji kama nani? Unajua mtu muongo ukimpa chance ya kujieleza kiurefu na kiundani huwa anajifunga kitanzi mwenyewe.

Sasa kama lengo lao lilikuwa kumuonyesha huyu binti ni tapeli wameshindwa sana sana wametuonyesha kuwa binti anaonewa na kunyanyaswa.

Kweli hizi nchi zetu ni tofauti sana na nchi zilizoendelea

nchi zilizoendelea yani hata kama huyo binti angekuwa muongo magazeti yooote yangekuwa on Kapuya's case yani uongo wa huyo binti ungekuja kujulikana mahakamni

ila nchi zetu za kimaskini magazeti yanamkandamiza maskini  mwenye nazo anatetewa....

Nchi za wenzetu ni guilty till proven innocent...lol.......

Yani hii kitu ingeplay very differently nchi zilizoendelea......ila kwetu binti keshasulubiwa na kuaibishwa kuwa ni tapeli wanamtajia na watu aliowatapeli mwenyewe anasema hawajui bado wanamlazimisha.....

Sasa huu ndo ukandamizaji wa wanawake........." Mange
Source:Mange blog
 

No comments:

Post a Comment