aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, October 6, 2013

P-SQUARE KUFANYA MAKAMUZI YA NGUVU HAPA NCHINI TANZANIA NOVEMBER 23......HII SI YA KUKOSA..!!


Kwa mujibu wa kituo cha EATV, wasanii hao wenye hits nyingi ikiwemo Alingo, Chop My Money na zingine wanatarajiwa kufanya onesho lao Tanzania tarehe 23 November.
EATV wametweet
Na baadaye kupitia ukurasa wao wa facebook wakaweka msisitizo:
“TUTAELEWANA TU MWAKA HUU AU SIO?!! EHHH!!
Sikia hii sasa!! Tanzania kwa mara nyingine tena tunawaleta kwenu ‘P SQUARE’.
Jipange kucheza na PERSONALLY, ALINGO, CHOP MY MONEY na nyingine kibaooooo!!
NOVEMBA patakuwa HAPATOSHII!! JIPANGEEEE !!!!!!!!!”

No comments:

Post a Comment