Julius Nyaisanga a.k.a Anko J (katikati) akiwa katika picha ya pamoja
na Mkongwe Mwenzie,Aboubakar Liongo pamoja na Mie (upande wa kulia)
|
HABARI zilizotufikia kutoka mkoani Morogoro ni kwamba Mtangazaji Mkongwe nchini, Julius Nyaisangah 'Uncle J' ameaga dunia. Mpaka mauti yanamfika, Marehemu Nyaisangah alikuwa Mhariri Mtendaji wa Abood Media iliyopo mkoani Morogoro.
Marehemu Julius Nyaisangah (katikati) akiwa katika pozi na Meneja Mkuu wa GPL Abdallah Mrisho (kushoto) |
source:gumzo la jiji
No comments:
Post a Comment