aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, October 6, 2013

WILLIAM MALECELA "NITAIRUDISHA KADI YANGU YA CCM SIKU WABUNGE WAKIRUDI BUNGENI NA KUBADILI MAAMUZI JUU YA KATIBA"


Katika hotuba ya Rais jana amesema Wabunge warudi tena Bungeni kujadili tena Muswaada waliokwisha upitisha tayari kwa mujibu wa sheria ya Jamhuri ya Muungano ya Taifa Tanzania, well sina tatizo na Wabunge kurudi Bungeni kujadili tena lakini iwapo Wabunge wa CCM watabadili msimamo na kukubali ambacho hawakukitaka mwanzoni, NINAKIAHIDI CHAMA CHANGU CCM KWAMBA NITAKUWA WA KWANZA KURUDISHA KADI YANGU, RASMI.
- Kuna wakati siasa zinatakiwa kufika to a dead end, na here we are, nasema tena sina tatizo na Wabunge kuombwa kurudi Bungeni na Rais wa Jamhuri, lakini nitakuwa na tatizo kubwa iwapo Wabunge wangu wa CCM watabadilika na kuweka msimamo mpya badala ya ule walioupitisha tayari kwa mujibu wa sheria, naahidi kwa Miungu yangu yote kuwa NITAIRUDISHA KADI YANGU YA CCM SIKU HIYO HIYO FASTA SANA!!

- CCM NI CHAMA CHA MAPINDUZI I MEAN REVOLUTION SIO ANYTHING ELSE, NAWAKUMBUSHA WABUNGE WETU WA CCM KWAMBA WANACHAMA WAKE TUNATAKIWA WANA MAPINDUZI NA WENYE MSIMAMO SIO WAOGA WAOGA WAKUYUMBISHWA YUMBISHWA NA THIS IS BEST TEST EVER!!!

- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!! CCM!

Le Mutuz

No comments:

Post a Comment