aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, October 8, 2013

MZEE MAJUTO ATANGAZA KUGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015..MMHH!!




Habari tulizozipata zinasema kuwa gwiji la sanaa za vichekesho nchini, Amri Athumani 'King Majuto' ametangaza kugombea ubunge kwa 2015.

Muigizaji huyu mkongwe mzee Majuto ametangaza  kugombea ubunge jimbo la Tanga mjini.

Majuto  mwenye umri  zaidi ya miaka 60 ametangaza nia yake hiyo alipohojiwa na Clouds, na akadai atagombea kupitia CCM.

Bado tunamtafuta mzee majuto ili aweze kututhibitishia kama habari hizi ni kwa kweli au la na kama ni kweli ana mipango gani na jimbo hilo la Tanga mjini.


Je, kama ni kweli, unahisi ataweza ? Tupe maoni yako

Source:Udaku Specially Blog

No comments:

Post a Comment