aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, October 5, 2013

MIKOA TAJIRI TANZANIA KWA MUJIBU WA BOT

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa. 

1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arusha(GDP-2.1 triliom)
8. Tanga(GDP-2.09 trillion)
9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)
http://www.thecitizen.co.tz/News/Rev...z/-/index.html

Cha kushangaza ni kuwa mkoa wa Mtwara ambao umezungukwa na gesi yenye ujazo wa mabilioni haupo kwenye orodha hiyo.
Lakini swali ni je,kwanini arusha haipo hata katika top 3 ya mikoa tajiri yenye kuchangia pato la taifa? Inaonekana makampuni mengi ya utalii yanamilikiwa na wageni au mengi yanatokea katika mkoa wa Dsm.

No comments:

Post a Comment