aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, October 3, 2013

CHEKI JINSI MISS TEMEKE ALIVYOMUANDALIA DINNER YA NGUVU OMMY DIMPOZ HUKO MAREKANI.


Ommy Dimpoz akiwa Nyumbani kwa Mr and Mrs Matope (Familia ya Miss Temeke) akipata Dinner
Nyumbani kwa Miss Temeke ambapo Dimpoz aliharikwa akiwa pamoja na Promoter wake na Wageni wengine waalikwa.Dinner hiyo ilihudhuriwa na watu wa karibu wa Miss Temeke ambao walifurahia dinner pia kupata fulsa ya kuchat one on one na Superstar huyo. 
Ommy Dimpoz akiwa na Mr Matope mume wa Miss Temeke wakipata Dinner 
Familia ya Mr Matope katika picha ya pamoja na Dimpoz


Miss Temeke na Mume wake Mr Matope katika Poz na Poz Kwa Poz 
Dimpoz akiwa na watoto wa Matope, pamoja na Promoter "DMK" zee Seif na Model maarufu Betty 
Kutoka Kushoto Matope,DMK,Seif na Mke wake 
Miss Temeke,Curtias na Mke wake wakiwa na Dimpoz. 
Bwana Abdul akiwa katika picha na Dimpoz na Model 
Dj Moo nae alikuwepo katika Dinner hiyo

Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS inatoa shukrani kwa familia ya Matope kwa mwaliko huo. 
PICHA NA SWAHILITV.BLOGSPOT.COM

No comments:

Post a Comment