Ajali mbaya nyingine imetokea usiku huu katika mlim
Katika ajali hiyo watu wawili wamekufa papo hapo huku
watu wawili wakijeruhiwa vibaya baada ya malori mawili kugongana uso kwa uso .
Chanzo ni dereva wa lori la IT lililokuwa likisafirishwa kwenda nchi za kusini mwa Tanzania aliyekuwa akitaka kulipita gari la mbele mlimani na katika kona kali .
Dereva wa lori hilo la IT aliyetambuliwa kwa jina la Gody amevunjika mguu wake na dereva na utingo la fuso wamekufa papo hapo huku mwanamke aliyekuwa katika lori la IT akisalimika .
Credit: Paparazihuru
No comments:
Post a Comment