
Hakimu wa mahakama ya mwanzo mkoani Shinyanga achomwa kisu na mlalamikaji baadaya ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa,hakimu huyo alitoa hukumu kwa mtuhumiwa wa wizi wa baiskeli yenye thamani ya 150000 aina ya neria.CHANZO : MATUKIO NA MICHAPO BLOG
The main purpose of this Blog is to share my knowledge with the world..You Are Warmly Welcomed Contacts:husseinngenje@yahoo.com +79264327067
No comments:
Post a Comment