aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, July 26, 2014

ALI KIBA NA DIAMOND BIFU LAO SASA LAFIKIA PABAYA


Hatimaye! Kwa mara ya kwanza staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba ameibuka na kumlipua hasimu wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, hali inayotafsiriwa kwamba bifu lao sasa limefika pabaya ikidaiwa kwamba wanagombea nyota (ustaa). 


Staa ‘the big name’ wa Bongo Fleva ndani na nje ya Bongo, Ali Saleh Kiba.
Kupitia Kipindi cha The Sporah Show, usiku wa Jumanne wiki hii kwenye CloudsTV, Kiba alimchakaza Diamond ambapo alifunguka mengi ikiwemo chanzo cha ugomvi wao.
Kiba alizungumzia sosi iliyotengeneza bifu kati yake na Diamond ambapo aliulizwa kama ana namba ya simu ya msanii huyo ndipo akatiririka:
“Nilikuwa nayo kipindi fulani, nilipohisi amenikosea nikaona sina ulazima wa kuwa nayo.
“Kuna kipindi alinikosea kwa sababu nilisikia amesema kwamba tulirekodi wote ule Wimbo wa Single Boy, jambo ambalo halikuwa kweli. Halafu akasema mimi ndiyo nilimfuta.
Staa wa muziki Bongo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,
“Diamond alinikosea kwa sababu kutokana na mimi ndiye nilifanya wimbo wake wa Lala Salama ambao upo kwenye album yake, akanifuta nikahisi amenikosea sana nilichoimba mimi akawa ameimba yeye, alichoniomba nifanye nilifanya kwa mapenzi yote na mimi namsapoti kila msanii waTanzania anayefanya vizuri, sikatai anaimba vizuri, sijui ukisema amekopi, mimi sijamaindi wala nini lakini usiseme kwa watu ukadanganya nikaonekana mimi sifai, siko hivyo mimi.
“Watu wengine ambao hawaelewi vizuri wanaweza wakamwamini Diamond, kila mtu ana mapenzi yake labda kuna wengine wanampenda Diamond wengine wanampenda Ali Kiba. Wanaweza wakawa wengine wanampenda Diamond wakaamini mimi nilimfuta kwenye wimbo wangu wa Single Boy lakini mimi wala, shahidi yangu ni produyuza Manecky (AM Records) kwani ndiye alitengeneza ule wimbo.
Staa katika tasnia ya filamu Bongo Elizabeth Michael 'Lulu'
“Sikuwahi kwenda studio na Diamond, sikuwahi kufikiria kufanya wimbo naye. Ila alinipigia simu baada ya ule wimbo wa Single Boy kuvuja. Akaomba afanye na mimi, akanipa hadi idea (wazo) ya video, nikamwambia nimeshafanya na Jaydee (Judith Wambura).
Nikamwambia itapendeza zaidi tukifanya wimbo mwingine kwa sababu hii tukifanya mimi na wewe haita-make sense (haitaeleweka), inapendeza ikiwa single boy na single girl, hicho ndicho kitu nilimjibu.
“Baada ya kama wiki moja nikasikia kwenye mablog, nikapigiwa simu kwamba mimi nimemfuta Diamond kwenye ule wimbo wakati yeye ndiye aliyenifuta katika wimbo wake, shahidi prodyuza wangu KGT.
“Kutoka hapo nikaona hakuna tatizo lakini kwa kujua yeye alinifuta katika wimbo wake. Mimi siyo shabiki wa Diamond ni shabiki wa muziki mzuri. “Kuna watu wanasema kachukua kiti changu? Labda kama ni kiti ambacho nilikuwa nimekaa kina vumbi na ninachotakiwa ni kukipangusa tu na kukaa tena, labda yeye yuko siti nyingine ila ya nyuma.
“Niliambiwa alisema vitu vingi, mara nilikopa fedha benki ili nimalizie nyumba na mambo kama hayo so siwezi kufanya naye kazi.” Baada ya Kiba kumchakaza, kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond naye alijibu mapigo bila kutaja jina la Kiba ambapo aliandika: “Tatizo lako wewe unawaza kushindana na mimi ili nishuke…Wakati mwenzako nawaza kushindana na watu wa mataifa mengine ili nilete sifa na heshima nchini kwetu.”
Hata hivyo, baada ya hayo yote kuliibuka madai kwamba mbali na ishu za muziki, mastaa wa kike wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe,Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Wema Isaac Sepetu wanahusishwa kwenye gogoro hilo kisa wivu wa kimapenzi hivyo ishu hiyo bado ni mbichi. Tusubiri mwisho WAKE!

MWANAUME AZAMISHWA SHOKA KICHWANI:MADAI NI FUMANIZI,KAMANDA WA MKOA ASHTUKA...YASEMEKANA APELEKWA HOSPITALI KINYEMELA...MPAKA LEO POLISI HAWANA TAARIFA KUHUSU TUKIO HILI




NI tukio la kutisha! Tukio hilo linadaiwa kutokea jijini Mwanza ambapo mwanaume mmoja (jina halikupatikana mara moja) amepigwa shoka la upande wa kushoto wa kichwa na kuzama ndani ikidaiwa ni sababu ya kufumaniwa. 



Mgonjwa akiwa wodini na shoka kichwani.
Picha za tukio hilo zilitumbukizwa mitandaoni na mtu anayedaiwa ni daktari aliyekuwa akimfanyia upasuaji mtuhumiwa huyo.
TAARIFA FUPI
Kwenye mitandao ya kijamii, picha hizo ziliambatana na maelezo mafupi sana kwa chini yakisomeka hivi:
“Baada ya madoctor (madaktari) wa Bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa aliyefumaniwa huko Mwanza hatimaye wamefanikiwa kumtoa shoka kichwani na hali yake bado mbaya, yuko ICU (chumba cha wagonjwa mahututi) kwa uangalizi zaidi. Mke wa mtu sumu!”


Picha ya X-Ray shoka lilivyoingia pichani.
MAZINGIRA YA PICHA
Kwenye baadhi ya picha, mwanaume huyo anaonekana ana nywele ndefu kidogo na mustachi ulionona. Picha nyingine zinamuonea akiwa na kipara nusu kichwa baada ya kunyolewa nywele ili madaktari waweze kumfanyia upasuaji wa kulitoa shoka hilo lililozama ndani sana.

MAZINGIRA YA HOSPITALI
Baadhi ya watu waliochangia kwenye mitandao ya kijamii walisema tukio hilo lilitokea nje ya Tanzania. Walisema ingekuwa Bongo lazima vyombo vyahabari vingeandika lakini hata hivyo, mazingira ya chumba cha upasuaji alicholazwa mwanaume huyo yalionesha ni Tanzania.

Shoka likiwa limetolewa na madaktari wa upasuaji.
KWA NINI NI TANZANIA?
Ni Tanzania kwa sababu, picha zinamuonesha mwanaume huyo akiwa kwenye kitanda cha chumba cha upasuaji akiwa amefunikwa shuka yenye maandishi yanayosomeka kwa kifupi MSD.
MSD ni kifupi cha maneno Medical Stores Department (Bohari Kuu ya Dawa). Mbali na kugawa dawa katika hospitali za serikali nchini, pia MSD inatoa mashuka yenye nembo hiyo kwa ajili ya kujifunika wagonjwa mahospitalini.
RPC ASHTUKA
Ili kupata ukweli wa madai hayo kwamba mwanaume huyo alikutwa na mkasa huo mkoani Mwanza na kulazwa katika Hospitali ya Bugando,paparazi liliingia kazini kufuatilia tukio hilo kwa kuzungumza na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Christopher Fuime na kumuuliza kama ana ishu hiyo mezani kwake.
“Mh! Hivi nyiye mnajua kama mitandao siku hizi imezua balaa kubwa sana? Hivi tukio kama hilo, mwanaume apigwe shoka mpaka kuzama kichwani, alazwe Bugando Hospital mimi nisijue?
“Hakuna kitu kama hicho.
Hayo ni mambo ya mitandao tu, sijui wametoa wapi? Halafu si umeona hata maelezo hayajitoshelezi? Mimi mkoa wangu upo shwari kabisa mpaka hivi ninavyoongea na wewe,” alisema Afande Fuime kwa sauti iliyoashiria kushtuka.
DAKTARI BUGANDO AONGEA
Ili kuchimba zaidi, paparazi lilimtuma paparazi wake aliye Mwanza,  ambaye alikwenda hadi Hospitali ya Rufaa, Bugando na kuzungumza na daktari mmoja anayefanya kazi kwenye kitengo cha upasuaji ambapo alisema:
“Ni kweli tunapokea watu wenye matukio ya kutisha lakini mwanaume aliyepigwa shoka mpaka likazama kichwani hatujampokea,” alisema daktari huyo akiomba asitajwe jina kwani si msemaji wa hospitali hiyo. 
TUKIO LAHAMISHIWA KAHAMA
Katika hali iliyozidi kuibua maswali, baadhi ya watu waliozungumza na paparazi wa Mwanza walisema wamesikia mwanaume huyo alikumbwa na balaa hilo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga.
KAHAMA
paparazi alitoa ripoti kwamba, hakuna mwanaume aliyelazwa kwenye hospitali yoyote ya wilayani Kahama wala mkoa huo kwa kupigwa shoka la kichwani.
MASWALI YA MSINGI
Bado jamii imebaki na maswali kadhaa ya kujiuliza. Kwamba, kama ni tukio la Tanzania, hiyo sehemu aliyolazwa mtu huyo hakuna jeshi la polisi? Kwa sababu polisi ndiyo wanahusika na kupewa taarifa za matukio kama hayo na kuyatangaza.


Pili, jamii inauliza kwamba, inawezekana mwanaume huyo baada ya tukio hakupitia au kupitishwa polisi kwa ajili ya kupewa Police Form No. 3 (PF3)?
Kama ni hivyo, hospitali walimpokeaje mtu wa hivyo hasa ikizingatiwa kuwa, hali yake ilionekana ni mbaya kwani hata picha ya X-Ray ilionesha shoka hilo lilizama kiasi cha kama inchi sita kwenda ndani na kubakiza kidogo kutokea upande wa kulia wa kichwa.

SAKATA LA VIUNGO VYA BINADAMU VILIVYOTUPWA DAR: SERIKALI YAIFUNGA HOSPITALI YA IMTU


Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) kinachohusishwa na utupaji wa viungo vya binadamu mithili ya takataka, imefungiwa kwa muda usiojulikana baada ya kugundulika kutokidhi viwango na maadili ya utoaji huduma za hospitali nchini.

 
Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imechukua jukumu la kuifungia hospitali hiyo baada ya kufanya ukaguzi wa kushitukiza na kubaini uwepo wa mapungufu kadhaa.
 
Mapungufu yaliyobainika kuwepo katika hospitali hiyo ni pamoja na kutokuwa na wauguzi wa kutosha, kutokuwa na vifaa vya kutosha ikiwemo kifaa cha kuchomea taka ngumu, kuchanganya dawa zilizokwisha muda na ambazo hazijaisha muda wake na pia wauguzi kufanya kazi ambazo si za kwao.
 
Akizungumza wakati wa kufunga hospitali hiyo, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk Gunini Kamba alisema, hospitali hiyo inastahili kufungiwa kutokana na kutokidhi viwango hivyo.
 
"Baada ya kufanya ukaguzi wa kushitukiza tumebaini kuwepo kwa mapungufu haya, kwa hiyo tunaifungia hospitali hii mpaka pale watakaporekebisha," alisema Dk Kamba.
 
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo, Profesa Yassin Mgonda alikiri kuwepo kwa mapungufu hayo ambayo aliahidi kuyafanyia kazi.
 
Hata hivyo, Profesa Mgonda aliiomba Manispaa na Wizara ya Afya kuangalia adhabu hiyo waliyoitoa .
 
Baadhi ya wagonjwa waliokuwa hospitalini hapo wakipata huduma walishtushwa na kusikitishwa na kitendo hicho, lakini walikipongeza na kutaka kuwa endelevu.
 
Mmoja kati ya wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Neema Kiwalo alisema, ukaguzi huo unatakiwa kuwa endelevu ili kuendelea kufichua madudu yaliyopo katika hospitali mbalimbali nchini.
 
Aidha, Msemaji Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja alisema, endapo hospitali hiyo watatimiza masharti waliyopewa na Mganga Mkuu wa Manispaa wao kama wizara watafanya ukaguzi kuona kama wamekamilisha.
 
Alisema ikiwa watakuwa wamerekebisha kasoro hizo zilizopelekea kufungiwa hospitali hiyo itaruhusiwa kutoa huduma zake kama kawaida.
 
Hospitali hiyo imefungiwa wakati kukiwa kuna sakata linalokihusisha chuo chake, kinachodaiwa kutupa viungo vya binadamu jalalani.
 
Katika sakata hilo lililovuta hisia za watu na kuzua mjadala mitaani, katika vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii, watu wanane wakiwemo madaktari wa IMTU, walikamatwa na Polisi kwa mahojiano wakituhumiwa kuhusika katika utupaji viungo vya binadamu jalalani.
 
Serikali wakati ikiendelea kuchunguza tukio hilo ikiwemo kuunda tume nyingine ya watu 15 chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, kujiridhisha kabla ya hatua kuchukuliwa iliyopewa siku saba kukamilisha kazi yake, tume hiyo imeundwa kukiwa na tume nyingine iliyoundwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
 
Tume iliyoundwa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,  imejielekeza kuja na majibu kadhaa,  ikiwa ni pamoja na kufahamu idadi kamili ya watu wenye viungo hivyo.
 
Ikiwa na watu saba akiwemo Mkemia Mkuu wa Serikali, Tume hiyo itakuja na majibu yanayofafanua viungo hivyo ni vya muda gani na zilitumika kemikali gani kuvikausha.
 
Pia, jopo hilo litabaini kama ipo sheria na ni ipi  inavunjwa. Wataalamu hao wanalenga kubaini, pia kama upo uzembe katika kulinda viungo vya binadamu na vinapatikanaje kwa ajili ya mazoezi.
 

Kwa mujibu wa Polisi, mifuko ipatayo 85 yenye vichwa, miguu, mikono, moyo, mapafu, vifua na mifupa ya aina mbalimbali ya binadamu, ilikutwa maeneo ya bonde la Mbweni Mpiji  eneo la Bunju jijini Dar es Salaam.

AJERUHIWA SEHEMU ZA SIRI NA MWANAMKE

Kumbe wanawake hatuvumi lakini tumoo japo nyuma ya pazia nahisi km wanaume wachokoziii mweee ila sina uhakika...haya bishost kaamua kunyofoa pumbu na meno hili suala la michepuko kama lihalalishwe jamani... kizuri kula na mwenzio yote yasinge kuwepo aaaaghhr choka mie.

Friday, July 25, 2014

WAKUBWA TU 18+: PICHA ZA UTUPU ZA CHANGUDOA WA BUGURUNI ZANASWA...ZIONE HAPA


changudoa akiwa amelala hoi baada ya dozi ya usiku kucha.......

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7b8XG1Vt8tQ0jPpP_FT2hk-6TNXyO8fqdgPsFAPv7ADueEO7eoGJDlPyL464tizisWUf1ve03h2N7LWw5qeLupiwubyjMo2pFgsM_mFf4CjxApc2vGM2tycUGViQslNC2HNTnVRQ5UdE9/s1600/ashawo+exposed.jpg

MTOTO WA RAIS KATIKA SKENDO YA NGONO...NI BAADA YA PICHA ZAKE KUVUJA... ZICHEKIII

MTOTO WA KIKE WA RAIS WA CZECH AMEINGIA KATIKA SKENDO MPYA YA NGONO BAADA YA PICHA ZAKE KUONEKANA KATIKA "PORN PARTY" MOJA ILIYOFANYIKA NCHINI HUMO HUKU AKIONEKANA AKICHEZA NA KUWASHIKA WANAUME WALIO UCHI...HABARI KUTOKA GAZETI MOJA LA NCHINI HUMO ZIMEDAI YA KWAMBA MTOTO HUYO ALIPIGWA PICHA AKIWA AMEVALIA SHATI JEUPE NA SKETI NYEUSI... 

Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 19 amekataa kuonekana kwenye party hiyo na kusema hizo picha zake ni feki...Kupitia Msemaji wake, Binti huyo alidai kua '''This was not me. The photos are a hoax or some sort of fake" Akiwa na maana kua "Huyo si yeye na Hizo picha sio zake ni feki" Lakini Editor wa Extra.cz ambaye aliweka hizo picha kua ni yeye na si mtu mwingine... Wanafanana hata vidoti katika ngozi zao zinafanana... Inasemekana Party hiyo ilifanyika mwezi wa kumi kabla ya uchaguzi mkuu wa Marais Nchini humo...

WAKUBWA TU: WABAMBWA WAKIFANYA MAPENZI SAA SITA MCHANA KWEUPEE TENA NJE HAWA HAPA ONA MWENYEWE

Making Love In Public
Making Love In Public
Making Love In Public
Making Love In Public
Making Love In Public
Making Love In Public

Making Love In Public
Making Love In Public
Making Love In Public

Making Love In Public


Making Love In Public

Making Love In Public


Making Love In Public

Making Love In Public


Making Love In Public