aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, February 18, 2014

Mahabusu afariki dunia baada ya KUJINYONGA kwa kutumia tambala la kupigia deki ndani ya choo cha mahabusu ya Kituo cha Polisi..!!

MAHABUSU, Vumi Elias (30), amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia tambala la kupigia deki ndani ya choo cha mahabusu ya Kituo cha Polisi Tunduma.
 
Elias, mkazi wa Maporomoko-Tunduma, aliyetuhumiwa kwa unyang’anyi wa kutumia nguvu katika eneo la Tunduma wilayani Momba, alifariki dunia jana, saa 12 asubuhi muda mfupi baada ya kufikishwa katika Kituo cha Afya Tunduma kwa matibabu.
 
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Robert Mayala, alisema Elias aliingia choo cha mahabusu saa 10 alfajiri na kufanya jaribio la kujinyonga kwa kutumia nguo ya kupigia deki.
polisi

No comments:

Post a Comment