Watanzania wawili wamejeruhiwa vibaya na kikundi cha watu wapatao 20 hadi sasa haijajulikana ni akina nani kama ni Waalbania au Ni vishoka wengine au Wagiriki. Tukio limetokea juzi usiku wakati walipopita karibu na watu hao BONYEZA HAPA KWA PICHA ZAIDI http://issamichuzi.blogspot.ru/2013/08/watanzania-wajeruhiwa-vibaya-ugiriki.html#main
No comments:
Post a Comment