The main purpose of this Blog is to share my knowledge with the world..You Are Warmly Welcomed
Contacts:husseinngenje@yahoo.com
+79264327067
Ads 468x60px
Saturday, August 10, 2013
VYOMBO VYA NJE VINASEMAJE KUHUSU UVUMI WA KIFO CHA PONDA..
Pamoja na baadhi ya Vyombo vya Habari vya ndani ya nchi kudai suala la Sheikh Issa Ponda ni uvumi tu na halina ukweli, vyombo vya nje vimeieleza habari hii sawa na tulivyoitoa jana; zaidi vyombo hivyo vimedai vina taarifa toka ndani ya Jeshi la Polisi!
No comments:
Post a Comment