Winga wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa
ya England Raheem Sterlng amefikishwa
ya England Raheem Sterlng amefikishwa
mahakamani hii leo kujibu tuhuma za
kumshambulia mtu baada ya kukamatwa usiku wa
kumshambulia mtu baada ya kukamatwa usiku wa
kuamkia leo (Alhamis).
Winga huyo mwenye umri wa miaka 18 alilala
kwenye kituo cha Polisi eneo la
kwenye kituo cha Polisi eneo la
Merseyside na alipanda kizimbani hii leo ambapo
alikanusha kosa la kumshambulia mtu .
alikanusha kosa la kumshambulia mtu .
Sterling alikamatwa majira ya saa nne na nusu hapo
jana ambayo kwa muda wa
jana ambayo kwa muda wa
kitanzania ni saa sita na nusu baada ya polisi kuitwa
eneo la Page Moss baada ya
eneo la Page Moss baada ya
polisi kuitwa kufuatia vurugu zilizotokea
kwenye eneo hilo .
kwenye eneo hilo .
Sterling alilazimika kulala ndani kwenye
kituo hicho kabla ya kupandishwa
kituo hicho kabla ya kupandishwa
mahakamani hii leo kujibu tuhuma hizo
na amekewa dhamana yenye masharti
na amekewa dhamana yenye masharti
ambapo shitaka lake litasikilizwa tena
mwezi ujao (septemba 20).
mwezi ujao (septemba 20).
Hii si mara ya kwanza kwa winga huyu
mwenye vituko kuingia matatizoni na
mwenye vituko kuingia matatizoni na
amewahi kupanda kizimbani mara moja
kujibu shutuma kama hizo .
kujibu shutuma kama hizo .
Raheem hivi majuzi aliitwa kwenye
kikosi cha timu ya taifa ya England
kwa vijana
kikosi cha timu ya taifa ya England
kwa vijana
wenye umri chii ya miaka 21 kitakachovaana
na Scotland wiki ijayo na bado kocha
na Scotland wiki ijayo na bado kocha
wa England Roy Hodgson hajatoa tamko lolote
juu ya tukio hilo .
juu ya tukio hilo .
No comments:
Post a Comment