aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Monday, August 12, 2013

SHOO YA PREZOO MAREKANI ILIKUWA MAJANGA TUPU,HAKUWA RAIS IN US KAMA ALIVYO AKIWA EAST AFRICA...!!

Brother Prezzo kwasasa yuko matembezini Marekani ambako anatarajiwa kukutana na Jay - Z  kwa mara ya pili.

Wakati wa matembezi hayo alikuwa na shoo ambayo ilipangwa ifanyike kwenye boti huko Dallas,Texas ambayo iligeuka kuwa hasara kubwa, Kwa uvumi uliopo inaonyesha hakuuza kabisa. Watu 30 tu ndo walihudhuria wakati ilikuwa na nafasi ya mamia ya watu.
kulingana na vyanzo huko Dallas,vinaonyesha kuwa Prezoo sio maarufu Marekani kama alivyo maarufu huko Africa mashariki kitu ambacho kinaelezea sababu ya janga hilo.

No comments:

Post a Comment