zake za kutaka kuhama Liverpool, baada ya kuambiwa na
mmiliki wa Liverpool John Henry warning: “Huendi popote”.
Mmiliki huyo wa Liverpool amesema kwamba ni upumbuvu
Mmiliki huyo wa Liverpool amesema kwamba ni upumbuvu
kuanza hata kufikiri kufanya biashara na Arsena ya mshambuliaji
huyo wa Uruguay. Presenting the club’s position on the Suarez saga,
the American calmly explained he will refuse to bow to player
pressure if it damages the interests of the football club in any way.
Na mmarekani huyo amesema kwamba kitendo alichokifanya
Na mmarekani huyo amesema kwamba kitendo alichokifanya
Suarez kilivuka mipaka, huku akisisitiza kwamba mshambuliaji
huyo hatouzwa kwenda klabu yoyote mpaka dirisha la usajili
litakapofungwa September 2 - pia akisema uamuzi wa kutokumuuza
Surez hautokani na masuala ya fedha. Henry alisema: “Hatuwezi
kumuuza Luis. Ni kwa sababu za kisoka kabisa, na sio masuala ya
fedha.
“Hii ni kwasababu mpaka sasa ni vigumu kupata mchezaji wa kuziba
“Hii ni kwasababu mpaka sasa ni vigumu kupata mchezaji wa kuziba
pengo lake kwa maana wachezaji wazuri wote wameshahama. Hivyo
ni sababu za kisoka, hatuwezi kumuuza - hasa kwa klabu ya Arsenal.
“Kuwauzia mahasimu wetu mchezaji huyu utakuwa ni upumbavu kabisa."
“Kuwauzia mahasimu wetu mchezaji huyu utakuwa ni upumbavu kabisa."
No comments:
Post a Comment