aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, August 7, 2013

MHADHIRI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (Patrick Rweyongeza) APIGWA RISASI NA KUFARIKI LEO HII JIJINI DAR

Patrick Rweyongeza, Mhadhiri (College of Engeneering) UDSM, ameuawa leo kwa kupigwa na risasi.

Tukio limetokea majira ya mchana maeneo Magomeni TANESCO wakati marehemu akielekea mjini ambapo watu waliokuwa 

wamepakizana kwa pikpiki kumfuata na kumfyatulia risasi kisha kutokomea.

Haijafahamika kama kuna uporaji uliofanyika au la.

Source: Matukio-Wapo radio

No comments:

Post a Comment