aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Monday, August 12, 2013

HII NDIYO MOJA YA MESEJI YA VITISHO ALIYO TUMIWA NAY WA MITEGO, ADAI KUTUMIWA NA WATU WALIOKUWA KATIKA KAMATI YA MAZISHI YA NGWAIR

Baada ya kuachia wimbo wake wa Salamu zao Nay Wa Mitego amedai kuwa ameanza kupokea vitisho kutoka kwa watu mbali mbali hasa wale waliokuwa kwenye maandalizi ya mazishi ya marehemu Ngwair hayo ameyasema kupitia akaunti yake ya Instagram nay pia amewashauri wale waliojitajilisha kupitia msiba wa ngwair kurudisha pesa hizo kwenye familia ya marehemu ikibidi hata kimya kimya hii ni moja ya meseji aliyotumiwa Nay
pia alimalizia kwa komennti hii “Zipo nyingi zingine za vitisho nitazipost zote watu wangu mjue leo nimeanza na hiyo ..!! ukweli unauma sana cogopi vitisho vyenu ,, Pelekeni hela kwa ndugu wa marehem bado nafasi mnayo ata kimya kimya,, mi nikifa siihitaji kamati za kisenge kwenye msiba wangu,, maana watu wanafanya micba ye2 mitaji yao …!! #966”

No comments:

Post a Comment