aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, August 7, 2013

HII KALI...HIZI NDIZO AINA MBALI MBALI ZA VITAMBI


                                                 AINA ZA VITAMBI
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O. Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo pana


hakionekani. kinasababishwa na kula mno viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada. Kina umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa Maombi tu.

No comments:

Post a Comment