goli lake katika mechi ya pre-season - na kumuonyesha boss wa
Chelsea Jose Mourinho aliyemdhiaki kabla ya mchezo kwamba
yeye ni "Ronaldo" wa aina gani.
Ronaldo alifunga mabao mawili na kuiwezesha Real Madrid
Ronaldo alifunga mabao mawili na kuiwezesha Real Madrid
kuifunga 3-1 Chelsea katika Guinness International Champions
Cup jijini Miami.
Baada ya goli lake la kwanza alilofunga kwa mkwaju wa faulo,
Baada ya goli lake la kwanza alilofunga kwa mkwaju wa faulo,
hakushangilia bali aligeuka mbele ya jukwaa la mashabiki na
kuonyesha kifua chake huku akitikisa kichwa.
Baada ya mchezo huo Ronaldo alizungumza na waandishi wa
Baada ya mchezo huo Ronaldo alizungumza na waandishi wa
habari kuhusiana na maneno ya maneno Mourinho kwamba
Ronaldo orijino ni yule wa Brazil - Cristiano alisema:
"Napendelea kuzungumza kwa vitendo vyangu vya uwanjani
na sio mara pengine popote"
No comments:
Post a Comment