kuhusu suala la Manchester United kutaka kumsajili kwa kusema
anataka kubaki nchini Spain.
Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal akiongea kwenye mkutano
Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal akiongea kwenye mkutano
wa waandishi wa habari jijini Kuala Lumpur mahala ambapo
Barcelona wapo kwa ajili ya maadalizi ya msimu mpya.
Fabregas alisema: 'Ndoto yangu siku zote imekuwa kuichezea
Fabregas alisema: 'Ndoto yangu siku zote imekuwa kuichezea
Barcelona na hakuna kilichobadilika. Nina furaha sana kuwa
hapa na sijawahi kufikiria kuhusu kuondoka.
"Sijawahi kuwa na shaka juu hilo. Haijanigharimu chochote
"Sijawahi kuwa na shaka juu hilo. Haijanigharimu chochote
kurudi Barcelona na sasa nataka kuwa mshindi nikiwa hapa.
'Ni heshima kubwa kwa Manchester United kuleta ofa mbili kwa
'Ni heshima kubwa kwa Manchester United kuleta ofa mbili kwa
ajili yangu, lakini hakujawahi kuwa na mazungumzo. Sijawahi
kuongea na klabu yoyote tangu nimejiunga na Barcelona miaka
miwili iliyopita.
'Siku zote nimekuwa nikitambua ninavyothaminiwa na klabu.
'Siku zote nimekuwa nikitambua ninavyothaminiwa na klabu.
Kila mut ameniambia namna anavyonitegemea, sijwahi kupata
ishara yoyote tofauti ya kuhisi sihitajiki.
'Sikutaka kusema lolote huko mwanzo kwa sababu kwangu mimi
'Sikutaka kusema lolote huko mwanzo kwa sababu kwangu mimi
kila kitu kilikuwa wazi kwamba nilikuwa nataka kuendelea kubaki
hapa. Niliiambia klabu nitaongea itakapofika zamu yangu.
'Kuna baadhi ya vitu vilitengenezwa, lakini havikuwa vya kweli
'Kuna baadhi ya vitu vilitengenezwa, lakini havikuwa vya kweli
- hasa la kusema kwamba nimeomba kuongezewa mkataba,'
alisisitiza Cesc Fabregas
No comments:
Post a Comment