mazoezi ya kikosi cha kwanza na kumlazimisha kufanya mazoezi
pekee yake, leo hii Wayne Rooney nae amefanyiwa kitendo hicho
hicho na kocha wake wa Manchester United David Moyes kwa
kumpeleka mshambuliaji huyo anayetaka kuondoka kufanya
mazoezi na kikosi cha pili cha timu ya mabingwa wa England.
Rooney alikuwa ndio mchezaji pekee wa kikosi cha kwanza
Rooney alikuwa ndio mchezaji pekee wa kikosi cha kwanza
kilichokuwa kikifanya mazoezi na wachezaji wa ziada katika
uwanja wa mazoezi Carrington, in a session chini ya usimamizi
wa makocha Warren Joyce na Nicky Butt.
No comments:
Post a Comment